photo Ad 728  x 90_zps6bmpgl6d.jpg
 

Unknown Unknown Author
Title: Lowassa amepokelewa hivi Makao Makuu ya CUF Buguruni, safari imeanza kwenda NEC… (+Pichaz)
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kwa kauli moja Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA vilithibitisha kuyapitisha majina matatu kwenye safari ya Kugombea Urais TZ Bara pamo...
IMG_4005

Kwa kauli moja Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA vilithibitisha kuyapitisha majina matatu kwenye safari ya Kugombea Urais TZ Bara pamoja na Z’bar… majina hayo ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa na Juma Haji Duni kwa upande wa TZ Bara, na Visiwani Zanzibar Mgombea ni Maalim Seif.
IMG_4006
Mbunge James Mbatia
August 10 2015 safari ya Wagombea wa UKAWA pamoja na Wanachama wa Chama hicho wameanza msafara kuanzia Buguruni Dar, kuelekea Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kwa ajili ya Wagombea hao kuchukua Fomu hizo.
IMG_4024
Naanza kukusogezea hizi pichaz za kwanza kutoka Makao Makuu ya CUF Buguruni.
IMG_4007
IMG_4009
IMG_4010
Mbunge wa Arusha, Godbless Lema.
IMG_4012
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’
IMG_4013
IMG_4015
IMG_4016
Muonekano wa Makao Makuu ya CUF Buguruni Dar es Salaam.
IMG_4017
IMG_4018

IMG_4022
Mgombea Urais Edward Lowassa akiwa ameongozana na Freeman Mbowe na James Mbatia.
     IMG_4023
Watu wa Usalama wako pembeni pia kuhakikisha Usalama unakuwepo wakati wote.
IMG_4025
IMG_4026

IMG_4028
IMG_4031
IMG_4032
 Source: Millardayo.com

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top