photo Ad 728  x 90_zps6bmpgl6d.jpg
 

Unknown Unknown Author
Title: Thomas Muller ndiye star anae hamia Manchester United
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Manchester United imepanga kutoa kitika cha pound milioni 60 kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa kijeruma...
manchester_united_logo_1280x1024
Klabu ya Manchester United imepanga kutoa kitika cha pound milioni 60 kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa kijerumani Thomas Muller (25) anae ichezea klabu ya Bayern Munich.  Manchester itamsajili mjerumani huyo kama mbadala wa mshambuliaji wao wa kiholanzi Robin Van Persie.
mulaa

Thomas Muller anatajwa kuhamia United
Tayari United imekubaliana na klabu ya Fenerbahce ya Uturuki dau la pound milioni 4.7 kama ada ya uhamisho wa Van Persie na atafanyiwa vipimo vya afya weekend hii na kusaini mkataba wa miaka minne na mshahara wa pound 200,000/=.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top