photo Ad 728  x 90_zps6bmpgl6d.jpg
 

Unknown Unknown Author
Title: Busta Ryhmes ajikuta mikononi mwa polisi…!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii wa Hiphop Marekani mwenye style yake ya kipekee kabisa ya ku-rap Busta Rhymes anaziandika headlines kwenye ...

busta3
Msanii wa Hiphop Marekani mwenye style yake ya kipekee kabisa ya ku-rap Busta Rhymes anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani.
Siku chache zilizopita msanii huyu alikuwa Gym moja iitwayo Steel Gym maeneo ya Chelsea jijini New York na wakati akiwa mazoezini msanii huyo aliingia kwenye majibishano na mtu mwengine kwenye Gym hiyo.
busta
Mabishano yakasababisha ugomvi mkubwa kati ya wawili hao, Busta Rhymes akapandwa na hasira na kumrushia mwenzake chupa…mwanaume huyo alieumia alikataa kupewa huduma ya kwanza na Gym hiyo bali akaamua kwenda moja kwa moja kwenye kituo cha polisi na kufungua mashitaka ya ushambuliaji dhidi ya Busta Rhymes.
NEW YORK, NY - JANUARY 17:  Busta Rhymes  performs at VH1 Save The Music Foundation's Songwriters Music Series Remix featuring Swizz Beatz & Friends, presented by Monster DNA Headphones & William Hill Estate Winery at Hard Rock Cafe New York on January 17, 2013 in New York City.  (Photo by Bryan Bedder/Getty Images for VH1 Save The Music)
Mwanasheria wa Busta Rhymes amesema kitendo hicho ni cha kijinga kwani ugomvi aliuanzisha yeye na sio Busta kitendo cha kumshitaki ni nia mbaya ya kulichafua jina la msanii huyo… kwa sasa Busta Rhymes anashikiliwa na kituo cha polisi kwa mashitaka hayo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top